Uncategorized

WANA MICHEZO WANA NGUVU KUBWA KULIKO HATA WANASIASA IWAPO WATAFANYA HIVI

admin May 7, 2020 7:40 am

Mwandishi Saleh Ally Jembe amesema wanamichezo wana nguvu kubwa ya kupambana na Corona kuliko hata wanasiasa.

Akihojiwa na ETv, Salehjembe amesema anaona wanamichezo wengi wakiwemo wanasoka wanaona vita dhidi ya Corona kama haiwahusu.


“Wangekuwa wanaandika ujumbe mara kwa mara ule ambao unatolewa na wataalamu kwa lengo la kuifundisha jamii kwa ajili ya kutambua athari za ugonjwa huo, namna ya kujikinga na kadhalika, ungekuwa ni msaada mkubwa sana kwa kuwa jamii inawaamini na wana watu wengi sana nyuma yao.”

SANCHEZ MAMBO MAGUMU MPAKA INTER MILAN NI BALAA PACHA INAYOWINDWA NA YANGA ACHA KABISA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply