Uncategorized

KLOPP WA LIVERPOOL ALIWAHIKUINOA TIMU ALIYOCHEZA ZAMA ZAKE

admin May 24, 2020 10:47 am

Jurgen Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool aliibukia ndani ya kosi hilo msimu wa wa 2015 akitokea Klabu ya Borussia Dortmund.

Alidumu ndani ya Dortmund kutoka msimu wa 2008-2015 ambapo aliibukia kwenye timu hiyo akitoka ndani ya timu ambayo aliwahi kucheza zama zake akiwa mchezaji.


Alicheza ndani ya Klabu ya Mainz 05 msimu wa 1990-2001 na alicheza jumla ya mechi 325 nafasi yake ni mshambuliaji na beki pia anaweza kucheza na alifunga jumla ya mabao 52.

COASTAL UNION KAMILI GADO KUREJEA KWA LIGI KUU BARA MANULA, KAGERE KUPIMWA CORONA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply