Uncategorized

SIMBA WAIPOTEZA YANGA KWA PACHA WA MWAMNYETO JUMLAJUMLA

admin August 5, 2020 7:47 am


IBRAHIM Ame, beki anayekipiga ndani ya Coastal Union inaelezwa kuwa amemalizana na mabosi wa Simba ambao walikuwa wakisaka saini ya Bakari Mwamnyeto ambaye ameibukia ndani ya Yanga.

 Yanga ilikuwa kwenye mazungumzo ya mwisho kupata saini ya Ame ila kwa kuwa waliizidi ujanja Simba wakaamua kuwajibu kibabe kwa kumalizana na beki huyo.

Wote wawili ndani ya Coastal Union walikuwa na maelewano mazuri ila bosi alikuwa Mwamnyento ambaye alikuwa ni nahodha wa Coastal Union.

Ikiwa imemaliza nafasi ya 7 kwenye msimamo imefungwa jumla ya mabao 30 ambayo ni machache kuliko yale iliyofungwa Namungo iliyo nafasi ya nne ikiwa imefungwa mabao 37.

Habari kutoka ndani zinaeleza kuwa tayari Ame yupo kwnye ardhi ya Dar tayari kumalizana na mabosi wa Msimbazi.

RASMI SIMBA YAMALIZANA NA MSHAMBULIAJI MZAWA SALIBOKO AJIFUNGA MWAKA MMOJA POLISI TANZANIA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply