Uncategorized

ANAANDIKA HAJI MANARA KUHUSU JONAS MKUDE

admin October 17, 2020 4:47 am


ANAANDIKA Haji Manara Ofisa Habari wa Simba kuhusu Jonas Mkude:-Msimu wa kumi huu wa kiungo fundi Jonas Gerald Mkude ndani ya kikosi cha kwanza cha Machampioni wa nchi Simba SC.


Huwa nasema kila siku Jona sio Attacking midfielder wala Holding Au Defending Midfielder!!


Yy ni Mido halisi,.Yaan amezaliwa kucheza eneo la kati tu, mara kadhaa viungo wa ushambuliaji au wa kuzuia huchezeshwa pembeni au mbele na hata katika nafasi za mabeki wa kati,,ila sio Kwa Master Jona, Yy ni pale pale katikati ya dimba..kama sio namba sita basi hupangwa namba nane,,hachezeshwi wing midfielder wala namba kumi au beki wa kati !! 


Kwangu mm huyu ndio King wa eneo la kati Tanzania na mbalada wake atazaliwa nchi hii mwaka 2150,,yaani miaka 130 ijayo.

MUONEKANO WA UKURASA WA MBELE GAZETI LA CHAMPIONI JUMAMOSI BEKI IHEFU FC NJE YA UWANJA WIKI NNE

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply