Uncategorized
RATIBA YA LIGI KUU BARA LEO NOVEMBA 28
LEO Novemba 28 Ligi Kuu Tanzania Bara inaendelea kwa timu sita kushuka viwanja vitatu tofauti kusaka pointi tatu
Mambo yatakuwa namna hii:-
Mbeya City v Mtibwa Sugar,Uwanja wa Sokoine, Mbeya saa 8:00 mchana.
Yanga v JKT Tanzania, saa 10:00 Uwanja wa Mkapa.
Dodoma Jiji v Ihefu, Uwanja wa Jamhuri, Dodoma.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.