Uncategorized

ALIYEWAPA PENALTI SIMBA,JINA LAKE LATUA FIFA

admin December 18, 2020 11:47 am

 


FIFA (Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu) imetoa benji kwa waamuzi 17 wa Tanzania kwa mwaka 2021.

Miongoni mwa marefa ambao wamepewa beji na FIFA ni pamoja na Martin Saanya, Hery Sasii ambaye amekuwa gumzo kutokana na penalti tata kwenye mchezo wa Simba v KMC.


Mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Simba ilishinda bao 1-0 lililofungwa na Meddie Kagere baada ya mwamuzi wa kati kuamua ipigwe penalti kwa kudai kwamba wachezaji wa KMC waliunawa mpira ndani ya eneo la 18.


Taarifa iliyotolewa na TFF imeeleza namna hii:-


KIKOSI CHA SIMBA KILICHOKWEA PIPA LEO KUWAFUATA WAZIMBABWE MANULA:TUTAFANYA VIZURI KIMATAIFA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply