Uncategorized

WILFRIED ZAHA AINGIA ANGA ZA AC MILAN

admin December 31, 2020 4:47 am

 


IMEELEZWA kuwa Klabu ya AC Milan inayoshiriki Serie A inahitaji saini ya Wilfried Zaha wa Crystal Palace. 


Winga huyo mwenye miaka 28 amekuwa kwenye rada za timu nyingi ambazo zinahitaji saini yake huku Milan wakipewa chapuo kupata saini yake.


Milan imani yao ni kwamba ikiwa watapata saini ya nyota huyu ataongeza makali ya kuwania taji la Serie A ambalo wanalihitaji kabisa.


Kwa mujibu wa Gazeti la The Sun, Zaha anataka kuondoka ndani ya timu hiyo ili akapate changamoto mpya.

VIGONGO VIKALI VYA KUFUNGIA MWAKA 2020 JEMBE LA KAZI LINALOKUJA YANGA HILI HAPA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply