news

TWAHA KIDUKU: NGUMI ZANGU ZINAUMA

admin February 4, 2021 10:47 am

 


BONDIA wa ngumi za kulipwa Twaha Rubaha ‘Twaha Kiduku’ Kiduku amefunguka kuwa mazoezi magumu ambayo amekuwa akiyafanya kabla ya mapambano ndiyo sababu kubwa ya ukali wa ‘punch’ ngumi zake.

Akizungumzia ubora wa ‘punch’ zake Kiduku amesema: “Ni kweli watu wengi wamekuwa wakiniambia napiga ngumi kali, hasa mabondia naokutana nao na hata makocha wangu huniambia ngumi zangu zinauma.

“Hii inatokana na mazoezi makali ambayo nimekuwa nikiyafanya, chini ya makocha wangu akiwemo Charles Mbwana kabla ya mapambano yangu kwani kwa kawaida huwa nafanya mazoezi kwa miezi mitatu,”

KOCHA AIPELEKA SIMBA NUSU FAINALI AFRIKA KIKOSI CHA KMC KITAKACHOANZA LEO DHIDI YA NAMUNGO FC, UWANJA WA UHURU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply