Yanga SC

VIDEO: SERIKALI YATAJA KINACHOIPONZA YANGA KUSHINDWA KUPATA MATOKEO MAZURI

admin June 11, 2021 4:47 pm


SERIKALI kupitia kwa Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba imetaja kuwa miongoni mwa sababu ambazo zinafanya timu nyingi kushindwa kupata matokeo mazuri ikiwa ni pamoja na Yanga ni ubovu wa viwanja vya mikoani jambo ambalo linawafanya wapate tabu.

 
Kupitia bajeti iliyowasilishwa jana, Juni 10 Nchemba ameomba Serikali iweze kutoa punguzo katika gharama ya nyasi bandia. 

 

VIDEO: KUMBE KINDOKI ALIAMBIWA AGOMBEE URAIS TFF, ABAINISHA SIFA ZAKE VIDEO: AJIBU ANA OFA KUBWA, ISHU YAKE KWENDA YANGA IPO HIVI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply