video

VIDEO: TFF YAFUNGUKIA KUHUSU NAMNA WANAVYOFUATILIA KWA UKARIBU KUHUSU MDAMU

admin August 3, 2021 1:44 pm

KATIBU Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Wilfred Kidao amesema kuwa kutokana na matokeo ambayo wanayapata kwa timu za vijana wanaona mwaga hasa kwa upande wa mpira. 


Pia ameweka wazi kuwa TFF inashiriki kwa ukaribu kufuatilia afya ya Gerlad Mdamu ambaye alipata ajali akiwa na timu yake ya Polisi Tanzania. Kwa sasa Mdamu yupo Hospitali ya Muhimbili akiendelea kupewa matibabu baada ya kuvunjika miguu yote miwili.

 

TANZIA: NYOTA MTIBWA SUGAR ATANGULIA MBELE ZA HAKI KIMBEMBE: PAMOJA NA KUTAMBULISHWA LEO, KUMBE NABI HAKUMTAKA MAKAMBO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply