Simba SC

BREAKING: RASMI, SIMBA YATHIBITISHA UHAMISHO WA LUIS NA CHAMA

admin August 16, 2021 5:44 am


UONGOZI wa Simba umetoa taarifa rasmi leo Agosti 16 kuhusu wachezaji wake wawili ambao ni Luis Miquissone na Clatous Chama kupewa ofa kutoka timu za nje ya nchi.


Kwa taarifa hiyo inakuwa ni rasmi kwamba nyota hao wawili ambao walikuwa na uwezo mkubwa ndani ya uwanja hawatakuwa kwenye ardhi ya Tanzania.

Luis anatajwa kuwa amemalizana na Al Ahly ya Misri huku Chama yeye timu ya RS Berkane. 


Taarifa hiyo imeeleza namna hii:-


GOMES AKOMALIA WACHEZAJI WAKE KUTUPIA, KAMBI MOROCCO IMEPAMBA MOTO CHELSEA YAANZA KWA USHINDI ENGLAND

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply