kimataifa

CONTE AGOMA DILI LA ARSENAL NA BARCELONA

admin September 25, 2021 5:43 pm


KOCHA Antonio Conte hana mpango wa kujiunga na Barcelona ama Arsenal kwa muda huu kwa kuwa anataka kuanza na timu tangu mwanzo wa msimu.

Conte mwenye miaka 52 kwa sasa hana kazi baada ya kuvunja mkataba na Inter Milan kufuatia kuwaongoza kutwaa ubingwa wao wa kwanza wa Serie A baada ya kuyeyuka miaka 11.

Kama sehemu ya makubaliano ya kuvunja mkataba , Conte amezuiwa kujiunga na timu nyingine ya Seria A mpaka msimu mpya unaofuata na sio sasa.

Ripoti zimeeleza kuwa Conte alikuwa amewekwa kwenye rada za Barcelona na Arsenal ila amekacha madilo hayo na badala yake anataka kuanza na timu tangu mwanzo.

WANAIJERIA WAIPA MBINU SIMBA KUIMALIZA YANGA KWA MKAPA 10 BORA NDANI YA LIGI KUU BARA HIZI HAPA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply