Habari za michezo

WAKATI AKIWA HAKUBALIKI BONGO….MAMBO YAZIDI KUMNYOOKEA SALAMBA…WAMISRI WAMJAZA MAMILIONI……

admin October 14, 2022 2:23 am

Nyota wa Tanzania Adam Salamba amesajiliwa na klabu ya Ghazl El Mahalla ya Misri kwa mkataba wa miaka miwili.

Salamba anajiunga na Ghazl El Mahalla akitokea JS Soura inayoshiriki Ligi Kuu ya Algeria.

Salamba amepita vilabu vya Lipuli FC, Simba SC, Al- Jahra na Namungo FC.

YANGA KUINGIA KIVINGINE SUDAN…NABI AKUBALI KUJILIPUA…JAMBO LA MGUNDA LATIKI SIMBA SC.. PAMOJA NA MOSES PHIRI KUTAKATA KIMATAIFA…FEI TOTO AIBUKA MBABE KWA HILI…ISHU IKO HIVI…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply