Habari za michezo

FT: SIMBA 1-0 De AGOSTO….PHIRI AFANYA YALIYOMLETA TZ….MGUNDA AITISHIA CAF…

admin October 16, 2022 4:43 pm

KLABU ya Simba imefanikiwa kutinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kuichapa timu ya Primeiro de Agosto ya nchini Angola 1-0 na kuwa jumla ya mabao 4-1 baada ya mechi ya kwanza Simba Sc kushinda 3-1 ugenini.

Mechi hiyo ambayo imepigwa katika dimba la Benjamini Mkapa, Simba Sc imefanikiwa kutawala mchezo na kuwafanya mashabiki ambao waliujaza uwanja kufurahia kandanda safi kutoka kwa mastaa wa timu hiyo.

Ni Moses Phiri ambaye amekuwa moto katika mechi za hivvi karibu amepachika bao safi ambalo liliwafanya Simba Sc kuwahakikishia kufuzu hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika

Kwa ushindi huo wa Simba, ni sawa na kusema kuwa kocha mkuu  Juma Mgunda anaifukuzia rekodi ya kocha bora wa CAF msimu huu endapo ataiwezesha timu yake kufika nusu fainali.

MO DEWJI AMWAGA MAMILIONI KWA WACHEZAJI SIMBA…WAPEWA ZAIDI YA MIL 600 …CHAMA ,PHIRI WAONGOZA KWA MGAO MKUBWA… DAKIKA CHACHE KABLA YA KUKIPIGA SUDAN…MAYELE AFUNGUKA ALIVYOMTAMBIA IBENGE…”NITAMFUNGA TENA”…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply