Habari za michezo

USHINDI WA YANGA ..NCHI NZIMA INASHEREKEA…MO DEWJI ASHINDWA KUJIZUIA …

admin November 10, 2022 3:05 pm

Rais wa heshima wa Klabu ya Simba SC, Mohammed Dewji “Mo dewji” ameipongeza Klabu ya Yanga kufuatia kufuzu hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho barani Afrika.

Yanga imefuzu hatua ya Makundi baada ya kuichapa Club Africain kutoka Tunisia kwa bao 1-0 lililopachikwa na Aziz Ki kipindi cha pili.

Kupitia ukurasa wake wa Twitter Mo ameandika;

BAADA YA KUMGONGA MWARABU KWAKE….ALLY KAMWE AIBUKA NA HILI…AFUNGUKA SHABIKI ALIYEKUFA.. SHAFFIH DAUDA: HAKUNA KAMA SURE BOY NA NDEMLA NCHI HII….

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply