Aidha timu nzima ya Meridianbet walioambatana na Meneja Masoko Matina Nkurlu hawakusita kuzungumza kile kilichowasukuma kutoa msaada huo tena kwa mara ya kwanza kwa Hospitali ya Mkoa wa Pwani-Tumbi.
Mmoja ya wazazi waliojifungua katika hospitali hiyo, Bi Zuwena Rashi mara baada ya kupokea msaada huo hakusita kuonesha hisia zake za furaha.