Habari za michezo

FT: POLISI TZ 1-3 SIMBA SC ….PHIRI AMSAIDIA BOCCO KUMJIBU MAYELE..

admin November 27, 2022 7:10 pm

KLABU ya Simba imefanikiwa kuonoka na alama tatu mbele ya timu ya Polisi Tanzania baada ya kuichapa mabao 3-1 kwenye mchezo huo ambao ulichezwa kwenye dimba la Ushirika mjini Moshi.

Kwenye mechi hiyo tumeshuhudia mshambuliaji wao Moses Phiri akiweka kambani mabao mawili na kumfanya awe na mabao nane kwenye ligi kuu NBC na kuwa nafasi ya pili kwenye ufungaji mabao huku akiongza Fiston Kalala Mayele ambaye anamabao kumi.

Simba Sc ilianza kupata bao la kwanza kupitia kwa mshambuliaji wao John Bocco ambaye kwasasa amekuwa kwenye kiwango kizuri katika mechi tatu za hivi karibunu alivyoanza kupata nafasi kwenye kikosi.

Bao pekee la Polisi Tanzania limefungwa na Zuberi Khamisi dakika za lala salama

MASTAA WALIOZALIWA AFRIKA….LAKINI WANACHEZEA MATAIFA MENGINE KOMBE LA DUNIA…. MABOSI SIMBA WAFUATA KIUNGO ANGOLA…BARBARA ATOA KAULI YA KIBABE…NABI AWAPIGA “KUFULI” MASTAA YANGA….

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply