Habari za Yanga
CAF

YANGA TIMU YA KWANZA KULETA KOMBE LA CAF…”WANANCHI MSIHOFU TUNABEBA…HAKUNA WA KUTUZUIA

Marce Ben Komba March 15, 2023 9:27 pm

“Sisi ndio tutakuwa timu ya Kwanza kutoka kwenye ardhi ya Tanzania kulileta Kombe la CAF nchini Inshallah, Jumapili tukifanikiwa kutinga Robo fainali nina Imani tutavuka na kwenda Nusu fainali, baadae Fainali na Inshallah sisi ndio itakuwa timu ya Kwanza kushangilia taji hili””

Wananchi msiwe na hofu Inshallah sisi mwaka huu tutalibeba” Hersi

Rais wa Yanga SC akizungumza na Mashabiki na Wanachama wa Klabu ya Yanga Manzese

SIMBA SC YAFANYA KUFURU…WINGA MATATA WA KIMATAIFA…USAJILI WA KUTISHA MAPEMAA MERIDIANBET WAFANYA KWELI KWA BODABODA WA KAWE…WAMWAGA ‘REFLECTOR’ KAMA ZOTEE…

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6131

Leave a Reply