SILAHA ZA TAIFA STARS SAFARINI...WAIFATA TIMU NCHINI MISRI
Michezo

SILAHA ZA TAIFA STARS SAFARINI…WAIFATA TIMU NCHINI MISRI

Marce Ben Komba March 20, 2023 2:26 pm

Wachezaji wa Tanzania wanaocheza Ubelgiji, kutoka kulia Mbwana Samatta (KRC Genk), Novatos Dismass (Zulte Weregem) na Kelvin John (KRC Genk)

wameanza safari kwenda nchini Misri kwenda kujiunga na timu yao ya taifa, Taifa Stars kwa ajili ya mchezo wa kufuzu Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) dhidi ya Uganda Ijumaa Jijini Cairo nchini Misri.

Taifa Stars inapambana kuhakikisha inakusanya alama tatu katika mchezo huo ili kuweka hai matumaini ya kufuzu kwa hatua inayofuata.

ALI KAMWE:_ STRAIKA WAO ANAPIGA KICHWA KAMA KONDOO…YANGA VS US MONASTIR NI FUNDISHO MOLOKO NI ZAIDI YA AZIZ KI…WANA YANGA HAWAMPI HESHIMA..ANACHANGIA SANA USHINDI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply