Habari za Yanga
Michezo

KUMBE HII NDIO SIRI YA MASHABIKI WA YANGA…KUSHANGILIA KWENDA ROBO

Marce Ben Komba March 21, 2023 11:22 pm

Wakati Yanga wakiitandika US Monastir ya Tunisia Jumapili katika Uwanja wa Benjamin Mkapa mabao 2-0.

Ushindi huo ulikuwa na maana kuwa Yanga wanafuzu kwa hatua ya Robo Fainali ya Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kipindi kirefu kupita

Mara ya mwisho Yanga kutinga robo fainali michuano inayoandaliwa na CAF, Clement Mzize Straika wa sasa wa Yanga alikuwa hajazaliwa.

Kelvin John anaetamba na Genk ya Ubelgiji alikuwa hajazaliwa. Ilikuwa mwaka 1998. Yanga walistahili furaha waliyoipata juzi.
Waacheni Wananchi washangilie.

BEKI HOROYA ASHANGAZWA NA CHAMA…”ALISABABISHA HATARI NYINGI…ANA UTULIVU WA AJABU HAKABIKI MAGAZETI: KIUNGO SIMBA AGOMEA MKATABA…YANGA YAMFUATA STRAIKA RASTA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply