Habari za michezo
MAYELE AWEKA REKODI HII MPYA…IDADI KAMILI YA MAGOLI ALIYOFUNGA TANGU ATUE YANGA
Marce Ben Komba
April 14, 2023
9:21 am
Msemaji wa Klabu ya Wananchi, Mabingwa mara 28 wa Ligi Kuu Tanzania Bara Young Africans Sports, Ali Kamwe amesema kuwa Mshambuliaji hatari wa timu hiyo,
Fiston Kalala Mayele amesaliwa na magoli mawili (2) pekee ili kufikisha idadi ya mabao 50 tangu kusajiliwa kwake.
Fiston Mayele ni miongoni mwa wachezaji wanaotarajiwa kukiwasha kwenye mchezo wa Derby ya Kariakoo siku ya Jumapili ya Aprili 16, 2023.
Mpaka sasa nyota huyo amefikisha jumla ya magoli 16 Ligi Kuu sawa na yale aliyofunga msimu uliyopita.
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.