Habari za michezo
WATANZANIA WAFELI MTIHANI WA UWAKALA FIFA…AFAULU MMOJA TU…
Marce Ben Komba
April 28, 2023
8:38 pm
Nassor Mjandari ndiye Mtanzania pekee aliyefaulu mtihani wa
uwakala wa FIFA uliofanyika mwezi huu, wale ambao hawakufaulu wanayo nafasi ya kurudia mtihani wa pili utakaofanyia Septemba 20, 2023.
Taarifa hiyo imetolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.