WATANZANIA WAFELI MTIHANI WA UWAKALA FIFA...AFAULU MMOJA TU...
Habari za michezo

WATANZANIA WAFELI MTIHANI WA UWAKALA FIFA…AFAULU MMOJA TU…

Marce Ben Komba April 28, 2023 8:38 pm

Nassor Mjandari ndiye Mtanzania pekee aliyefaulu mtihani wa
uwakala wa FIFA uliofanyika mwezi huu, wale ambao hawakufaulu wanayo nafasi ya kurudia mtihani wa pili utakaofanyia Septemba 20, 2023.

Taarifa hiyo imetolewa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)

BARCELONA HALI TETE KIUCHUMI…WACHEZAJI WAGOMA…WANATAKA MISHAHARA YAO MCHONGO MZIMA WA KESHO UMEKETI KWENYE ODDS ZA KIJANJA ZA MERIDIANBET….ZINGATIA HILI..

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6260

Leave a Reply