Tetesi za usajili wa Simba
Habari za michezo

ISHU YA KRAMO AUBIN KUSUGUA BENCHI IKO HIVI…… SIRI YAFICHUKA

Staff Desk August 18, 2023 11:38 am

Baada ya kuwepo kwa sintofahamu kwa mashabiki wa Simba kuona winga wao fundi Kramo Aubin anasugua benchi pasipo kupata nafasi katika mechi yoyote.

Taarifa za ndani ya Simba zinaeleza kuwa mchezaji huyo amekuwa akiugua ghafla siku chache kabla ya mchezo.

Pamoja na changamoto hiyo, inaelezwa Kramo haimfanyi ashindwe kutimiza majukumu yake anapokuwa mazoezini na amekuwa akionyesha kiwango bora.

Je Kramo anateseka na siasa za soka letu?

ROBERTINHO AFUNGUKA BAADA YA MECHI YA SIMBA VS MTIBWA…… KUMBE YANGA NAO HAWAJAMALIZA…. CHUMA HIKI HAPA JAGWANI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply