Habari za Yanga SC
Habari za michezo

DJUMA SHABAN NA YANGA SASA SHUGHULI IMEKWISHA, HATA SIMBA FRESH TU

Staff Desk August 20, 2023 9:24 am

Uongozi wa Yanga umempa barua ya kumuacha huru aliekuwa mlinzi wake wa kulia Raia wa Jamhuri ya Congo Djuma Shaban.

Beki huyo ambaye alikuwa tegemezi Jangwani, sasa yupo huru kujiunga na Timu yoyote hata Simba wakimtaka.

Djuma bado ana Mkataba na Yanga lakini hakuwa kwenye mipango ya timu na Yanga walitaka kumtoa kwa mkopo lakini yeye aligoma akitaka kuvunjiwa Mkataba.

CHUMA KINAKUJA, YANGA YAANDAA SAPRAIZI, TFF YAFUNGUKA KILA KITU MASTAA SIMBA WAANZA KWA MAJANGA MSIMU HUU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply