samata
Habari za michezo

GENK BADO WANAKUMBUKA MAAJABU HAYA YA SAMATA

Staff Desk September 26, 2023 1:59 pm

Nahodha wa timu ya Taifa Tanzania ‘Taifa Stars’ Mbwana Samatta ameendelea kuenziwa na klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji kwa jezi yake maalum kuuzwa katika maduka ya timu hiyo.

Samatta ambaye ni Legend wa timu hiyo amewekwa katika kundi la wachezaji watano wa kikosi hicho waliowahi kupita na kufanya mambo makubwa.

Katika duka la kuuzia vifaa vya michezo la timu hiyo kuna jezi maalum iliyotengenezwa na kuuzwa katika duka hilo, moja ya jezi inayouzwa ni pamoja na jezi ya Samatta yenye picha yake akiwa anafunga kwa kichwa katika mechi ya Genk na Liverpool.

MASTAA HAWA WA SOKA BONGO KAMA ULAYA TRY AGAIN AWEKA WAZI KATI YA KUCHEZA VIZURI AU USHINDI

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply