Habari za Yanga SC
Habari za michezo

MASTAA HAWA WA SOKA BONGO KAMA ULAYA

Staff Desk September 26, 2023 12:17 pm

Mara nyingi wakati wa mapumziko tumezoea kuona wachezaji wanao cheza soka la kulipwa ulaya wakati wa mapumziko wakioneka katika viwanja vikubwa kufatilia mchezo wa Basket ball hasa nchini Marekani.

Hata hapa Tanzania nyota wa mpira wa miguu kutoka vilabu vya Yanga SC na Azam FC Skudu Makudubela pamoja na Aziz Ki na kwa upande wa Azam FC Idd Seleman Nado wameonekana katika uwanja wa Don Bosco Oysterbay kwenye fainali za ligi ya kikapu BD League Skudu na Nado wamefunguka na kueleza kwanini wamekwensa kutazama Mpira wa kikapu.

“Michezo ni kitu ambacho kinagusa hisia za watu kwahiyo hata Mimi mchezo huu umenigusa na nime shawishika kuja kutazama Mpira huu nime enjoy sana”Amesema Skudu

“Ni mefurahi kuwa hapa ni mara ya kwanza kuja kutazama ni mchezo ninao upenda pia nikipata nafasi nikiwa mapumziko nitakuwa nakuja kutazama zaidi maana tunaona hata wachezaji wa ulaya wanapenda kutazama mchezo wa basket”Alisema Idd Nado

BODI YA LIGI YAFUNGUKA ISHU NYA LIGI KUU KUSIMAMA ISHU IKO HIVI GENK BADO WANAKUMBUKA MAAJABU HAYA YA SAMATA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply