GAMONDI AFANYA MAAMUZI MAGUMU MASTAA HAWA YANGA KUPINGWA PANGA…..UNAAMBIWA SKUDU NAE HANA BAHATI
Taarifa kutoka ndani ya Klabu Yanga zinadai kuwa Kocha wa timu hiyo, Miguel Gamondi amependekeza wachezaji wafuatao wakimataifa wapigwe panga kwa sababu hawajaingia kwenye mfumo…