Habari za michezo
MAYELE HALI IMEBADILIKA PYRAMIDS
Staff Desk
September 26, 2023
3:23 pm
Straika wa zamani wa Yanga Fiston Mayele ameendelea kuwa na mwanzo mbaya Pyramids baada ya kucheza mechi mbili za ligi bila kufunga wala kupiga shuti lililolenga goli/on target/kacheza dakika 91 kwenye mechi mbili za ligi mpaka sasa(vs Zamalek na National Bank)
Leave a Reply
You must be logged in to post a comment.