Habari za Yanga
Habari za michezo

MBABE WA YANGA CAFCC AJIUZULU

Staff Desk October 10, 2023 10:37 am

Ikiwa imepita miezi kadhaa Wana-Yanga wakiwa na kumbukumbu mbaya baada ya kupoteza Kombe la Shirikisho Afrika, Kocha Mkuu wa USM Alger ya Algeria, Abdelhak Benchikha 959) ametangaza kujiuzulu.

USM Alger imethibitisha taarifa hiyo jana Jumatatu Oktoba 9, 2023 katika mtandao yake wa kijamii huku sababu kocha huyo kujiuzulu zikiwa hazijawekwa wazi.

Benchikha ameipa timu hiyo mafanikio makubwa ikiwemo Kombe la Shirikisho Afrika 2022/2023 pamoja mbele ya Yanga pamoja na ubingwa wa CAF Super Cup wakiifunga Al Ahly licha ya kutomaliza nafazi za juu katika ligi ya Algeria kwa msimu uliopita.

PACOME,MUDA WAWEKA REKODI MSHAMBULIAJI WA YANGA ATUA AL NASSAR YA RONALDO

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply