Habari za michezo

COASTAL UNION WAMTANGAZA MRITHI WA ZAHERA

Staff Desk November 9, 2023 6:46 pm

Klabu ya Coastal Union inayoshiriki Ligi kuu kandanda Tanzania Bara leo imemtangaza kocha wa zamani wa klabu ya sofapaka raia wa Kenya David Ouma kuwa kocha wake mpya akichukua nafasi ya Mwinyi Zahera aliyehamishiwa kwenye majukumu mengine.

Klabu ya Coastal Union inayoshiriki Ligi kuu kandanda Tanzania Bara leo imemtangaza kocha wa zamani wa klabu ya sofapaka raia wa Kenya David Ouma kuwa kocha wake mpya akichukua nafasi ya Mwinyi Zahera aliyehamishiwa kwenye majukumu mengine. Ouma amewahi kufundisha timu ya vijana ya Ajax ya Uholanzi aliwahi kufundisha timu ya Taifa ya Kenya akihudumu kama kocha msaidizi iliyokuwa ikinolewa na Bobby Williams. Ouma ameifundisha pia Rangers ya nchini Kenya.

UHONDO WA MPUNGA WA EUROPA UPO MERIDIAN BET BALEKE ATAMBA KWENYE ANGA ZA WABABE HAWA WA YANGA

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply