Home kimataifa NYOTA WA BRAZIL AREJEA UWANJANI AKIWA NA MIAKA 58…MNAOSEMA SAIDO MZEE MPO... kimataifaMichezoMichezo BongoMichezo Soka la Bongo NYOTA WA BRAZIL AREJEA UWANJANI AKIWA NA MIAKA 58…MNAOSEMA SAIDO MZEE MPO WAPI? By Marce Ben Komba - April 18, 2024 0 ‘Jobe, Fredy ni usajiri mbovu kwa @simbasctanzania , Saido umri umeenda” – Mzee Mwenda Nyota wa zamani wa Brazil na mshindi wa kombe la Dunia 1994 Romario ametangaza kurejea tena uwanjani kwenye soka la ushindani. Romaro kwa sasa ana umri wa miaka 58 na amejiunga na timu ya America of Rio de Janeiro