Home Authors Posts by Abubakar

Abubakar

1083 POSTS 0 COMMENTS

SIMBA YAIBA MCHEZAJI YANGA…YANGA YAJIPANGA KUJIBU MAPIGO

0
Simba Queens ipo katika mazungumzo na beki wa kati wa Yanga Princess, Noela Luhala anayemaliza mkataba wake na klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu. Simba...

RAIS WA FIFA AIPONGEZA YANGA…HABARI ZA YANGA DUNIANI KOTE

0
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino ametuma salamu za pongezi kwa Mabingwa wa Ligi Kuu ya NBC 2023/2024 Klabu...

SIMBA,YANGA, AZAM & COASTAL…ZATAKIWA KUKAMILISHA USAJILI HARAKA

0
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limezitaka timu zinazoshiriki michuano ya kimataifa msimu ujao kukamilisha sajili zao mapema. Timu hizo ni Simba, Yanga, AZAM FC...

WAWILI WAONGEZWA…KAMATI YA USAJILI SIMBA

0
NI MWENDO wa Kimya kimya tu baadae kila kitu kitakuwa sawa, Simba naona wamechagua kufanya mambo yao kwa siri, hususani mabadiliko ndani ya Uongozi...

STEVE KOMPHELA WA MAMELODI…FILE LAKE LINAJADILIWA SIMBA

0
UNAIKUMBUKA Mamelodi Sundowns ya Pitso Mosimane? huenda huko mbali, je hii   Mamelodi ya Rulani Mokwena? kwenye ubora ule na kiwango kile nyuma yake alikuwepo...

SIMBA YAFUATA KOCHA SA…HATMA YA MGUNDA IKO HIVI.

0
INAELEZWA kwamba Uongozi wa Simba SC utaachana na Kaimu Kocha Mkuu wa klabu hiyo Juma Mgunda ambaye amedumu na kikosi hicho kwa miezi kadhaa. Mgunda...

BREAKING NEWS: BARBARA ARUDI SIMBA…MO HATAKI MASIHARA

0
HABARI za Simba Leo ni za moto, za hivi punde tulizozinyaka ni kwamba aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Klabu hiyo Barbara Gonzalez amekubali kurudi...

YANGA SC, AZAM FC KWA KANUNI HII CAF MUWE MAKINI…SIMBA NO...

0
WAWAKILISHI wa Tanzania kwa upande wa mashindano ya Kimataifa, Yanga SC na Azam FC kwenye Klabu Bingwa Afrika, na Simba SC na Coastal Union...

UKIMYA WA SIMBA…WAMUIBUA AHMED ALLY…ASEMA JAMBO

0
HUENDA hata wewe umekuwa ukipita kwenye akaunti mbalimbali za klabu ya Simba  kujaribu kuchungula taarifa mpya, lakini huoni chochote! ukimya huo umemfanya Afisa Habari...

SIMBA NA YANGA KUPIGWA MARA 3…MSIMU WA 2024/25

0
HUENDA SIMBA NA YANGA zikikakutana zaidi ya mara 3 kwa msimu ujao wa mashindano, 2023/24, lakini kwa kufuata Kanuni za Ligi timu tutashuhudia Dabi...
329,001FansLike
12,344FollowersFollow
16,900SubscribersSubscribe

EDITOR PICKS