MUKWALA AKIRI KUWA NA DENI KUBWA SIMBA
Mshambuliaji mpya wa Simba, Mganda Steven Mukwala hajawapa furaha Wanamsimbazi, lakini mwenyewe amekiri sasa anauona ukubwa na thamani ya kikosi hicho baada ya kuanza kukitumikia…
Mshambuliaji mpya wa Simba, Mganda Steven Mukwala hajawapa furaha Wanamsimbazi, lakini mwenyewe amekiri sasa anauona ukubwa na thamani ya kikosi hicho baada ya kuanza kukitumikia…
Kocha Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi anafurahishwa na Clement Mzize na anataka nyota huyo asiuzwe kwenda Wydad Casablanca kwa gharama yoyote! Jaribio la ZAIDI ya…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kuna ugumu kwenye kutengeneza nafasi za wazi katika mechi za ushindani jambo linalowafanya kutumia mbinu nyingine kusaka ushindi. Kwenye…
KLABU ya Yanga dhidi ya timu za Ethiopia katika michuano ya CAF ina rekodi ya kuzitoa mara tatu kati ya nne walizokutana huku yenyewe ikitolewa…
YANGA ina uhakika mkubwa wa kuimaliza mechi ya marudiano dhidi ya Vital’O ya Burundi kwenye Uwanja wa Mkapa Jumamosi baada ya ushindi mabao 4-0 wikiendi…
MNYAMA Simba ameanza mambo yake mapema ya kuwafuatilia wapinzani wake katika hatua ya kwanza ya Kombe la Shirikisho Afrika ambapo kwa asilimia kubwa wanakwenda kucheza…
KIPA mpya wa Simba, Moussa Camara ameweka wazi malengo yake msimu huu na kutangaza vita dhidi ya Djigui Diarra wa Yanga na Lay Matampi kutoka…
Mshambuliaji mpya wa Simba, Leonel Ateba sasa ruska kuitumikia klabu hiyo katika michezo ya Ligi Kuu Tanzania Bara baada ya kukamilika vibali vya kazi pamoja…
Huenda muda wowote kutoka sasa mshambuliaji wa Simba Freddy Michael Koublan akajiunga na USM Alger ya Ligi Kuu Algeria. USM Alger wanataka kumsajili Fred kama…
Kocha Mkuu wa Kaizer Chiefs ya Sauzi, Nasreddine Nabi ameitabiria makubwa Klabu ya Yanga akisema kuwa kwa uwezo walionao wachezaji wao na ubora wa benchi…