YANGA KIBARUANI LEO KUUSAKA UBINGWA WA AFRIKA
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wanatarajia kukutana na Vital’O kutoka Burundi katika mechi ya kwanza ya mashindano ya kimataifa ya Ligi ya Mabingwa…
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga, wanatarajia kukutana na Vital’O kutoka Burundi katika mechi ya kwanza ya mashindano ya kimataifa ya Ligi ya Mabingwa…
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (Caf) limetangaza kutoa kiasi cha Dola 50,000 kwa kila timu inayoshiriki Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho…
ALIYEKUWA Mlinda Mlango wa zamani wa Yanga kwa sasa anadakia Singida Black Stars, Metacha Mnata amesema msimu huu anaitaka ile tuzo ya kipa bora wa…
Klabu ya Simba jana imekamilisha usajili wa Leonel Ateba kutoka USM Alger ya Algeria na saa 4:00 usiku ikamtambulisha rasmi. Wakati Wanasimba wakitamba na ujio…
KUELEKEA katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Vital’O dhidi ya Yanga uongozi wa Yanga umebainisha kuwa watawaonyesha kwa vitendo wapinzani hao. Ni…
Furahia Mamilioni ya kutosha ukicheza sloti ya Kasino ya Mtandaoni ikielezea Roma ya Kale! Cheza sloti ya Veni Vidi Vici! Mchezo huu wa Sloti…
Mwanasheria Simon Patrick kwa niaba ya Mteja wake Ghalib Said Mohammed (GSM) wamemuandikia Demand Letter Notice Mwanachama wa Yanga Juma Ally Magoma wakitaka fidia ya…
Kwenu wanangu kabisa Rafiki zangu Mimi wa nguvu, line yangu kabisa nawakubali bila Shaka ni wazima huko kwenye majukumu yenu Mimi nataka niwape ujumbe muhimu…
Wakati mchakato wa kumsajili mshambuliaji mpya wa Simba, Christian Leonel Ateba Simba unaanza skauti wa Simba, Mels Daalder alimpendekeza mshambuliaji wa Red Arrows kutoka Zambia,…
BAADA ya Jeshi zima la Simba kutua salama Ethiopia, Kocha Mkuu wa Simba Queens, Juma Mgunda, amesema wachezaji wake wanajua kilichowapeleka nchini humo na wanafahamu…