KWA TAKWIMU HIZI STRAIKA MPYA SIMBA…ANA KAZI YA KUFANYA…GEFLEA AMCHAMBUA
Leonel Ateba ni jina la usajili mpya wa Simba ambaye wamemsajili kutokea klabu ya USM Alger tena kwa gharama kubwa. Takwmi za ufungaji za Ateba…
Leonel Ateba ni jina la usajili mpya wa Simba ambaye wamemsajili kutokea klabu ya USM Alger tena kwa gharama kubwa. Takwmi za ufungaji za Ateba…
SHIRIKISHO la Soka Afrika (CAF) limetoa Orodha mpya ya Vilabu Bora Afrika kuelekea msimu mpya 2024/25. Miongoni mwa Vilabu bora kwa sasa Afrika, Simba inashika…
MRITHI WA CHAMA ndani ya Yanga Farid Mussa ameweka wazi kuwa wanafanya kazi kwa ushirikiano kufikia malengo ya timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel…
MSHAMBULIAJI mpya wa Singida Black Stars, Joseph Guede aliyekuwa akikipiga Yanga msimu uliopita amechimba mkwara mapema akisema anatarajia msimu bora kutokana na wachezaji waliopo. Guede…
KOCHA Mkuu wa Yanga MIGUEL Gamondi, amewapa tano mastaa wake ikiwa ni pamoja na Clement Mzize, Duke Abuya, Dickson Job kwa kushirikiana kuanza na taji…
KMC tayari wameshamtoa AWESU AWESU kwenye mipango yao kuelekea msimu ujao na Nahodha wao mpya ni KENNY ALLY MWAMBUNGU, kilichopo sasa kati yao ni kuwa…
Inawezekana ni kweli kocha Fadlu Davids anaona wachezaji hawampi kile anachokihitaji kwa sasa, lakini ukweli ni kwamba hajaliangalia tatizo la msingi la timu hiyo kwa…
Uongozi wa timu ya Vital’O ya Burundi umewataja wachezaji wa Yanga SC, kipa Djigui Diarra na viungo Maxi Nzengeli na Stephane Aziz KI kama kizingiti…
Dili la Kiungo Awesu limewapalia Simba baada ya KMC kukimbilia Kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji ya Shirikisho la Soka (TFF), kushtaki kuwa, mchezaji…
Taarifa ambazo tunazo zinabainisha kwamba Mchezaji wa Simba Fabrice Ngoma anayecheza nafasi ya kiungo mkabaji maisha yake yanaweza yasiwe marefu klabuni hapo baada ya kuwepo…