SIMBA WAMBIPU MANULA…CAMARA ACHUKUA KILA KITU
MABOSI wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba ni kama jana Alhamisi ilibipu juu ya namba 28 ya kipa Aishi Manula baada ya kumtambulishia…
MABOSI wa Idara ya Habari na Mawasiliano ya Simba ni kama jana Alhamisi ilibipu juu ya namba 28 ya kipa Aishi Manula baada ya kumtambulishia…
WATAKUJA Wote na watasifiwa sana lakini kuna huyu mwamba mmoja atabaki dunia yake, Chama amesifiwa sana, kuna Dube lakini Maxi Nzengeli anastahili pongezi na heshima…
Usajili wa mshambuliaji aliyefanya vizuri sana kule Ghana katika Ligi Kuu ya nchi hiyo, Steven Mukwala ulishereheshwa vilivyo na Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba,…
BAADA ya mchezo wa Kariakoo Dabi kutamatika na Yanga kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na…
YANGA hii unaifungaje? Mashabiki wametuma tambo kimtindo kwa watani zao wa jadi baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 kwenye mchezo wa hatua ya…
YANGA wameendeleza ubabe wao kwa Simba baada ya kupata ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wa nusu fainali ya Ngao ya Jamii uliochezwa Uwanja wa…
Dili la mchezaji wa Simba Willy Esomba Onana huenda lisitimieΒ baada ya Uongozi na kamatiΒ ya usajili kuanza kumjadiliΒ kwa kina mchezajiΒ huyo. Vilabu vya…
Kama zilivyo mechi zote za Simba na Yanga, tambo, mbwembwe na majigambo yamekuwa wakiendelea kwa mashabiki wa klabu hizo wakiwamo wasanii mbalimbali wa sanaa ya…
Kuelekea Msimu ujao Wa mashindano ya CAF champions league Pamoja na CAF Confederation League Kamati ya Mashindano ya CAF Iko kwenye majadiliano juu ya Kufuta…
Debora Fernandes Mavambo unaweza kusema amekabidhiwa mikoba mizitoΒ kutokana na uzi atakaotumia kuwa na namba iliyoacha rekodi ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu,Β Fadlu…