ISHU YA HAJI MANARA KUACHIA NGAZI SIMBA IPO HIVI
OFISA Habari wa Simba, Haji Manara leo Agosti 19, 2020 amefuta kauli yake ya kustaafu nafasi yake ya ndani ya Klabu ya Simba. Agosti…
OFISA Habari wa Simba, Haji Manara leo Agosti 19, 2020 amefuta kauli yake ya kustaafu nafasi yake ya ndani ya Klabu ya Simba. Agosti…
NYOTA wapya ambao wamemalizana na Yanga hivi karibuni, nchini Congo, leo Agosti 19 wameanza safari kutoka nchini Congo, kuitafuta ardhi ya Tanzania ili kujiunga…
KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Farid Mussa, leo Agosti 19 ameanza mazoezi na wachezaji wenzake kwa ajili ya maandalizi ya mechi za Ligi Kuu Bara…
ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Yanga, Mkongomani, Mwinyi Zahera ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi wa Ufundi ndani ya Gwambina FC, amefunguka kuwa klabu hiyo imepata…
Na Saleh Ally HOFU ya ugonjwa wa Covid 19, imebadilisha mambo mengi sana katika mlolongo sahihi wa maisha ya mpira wa soka duniani. Kwa…
DAVID Mwasa ambaye ni beki wa kati, leo Agosti 19 ametambulishwa ndani ya Klabu ya KMC kuwa mchezaji wao mpya kwa ajili ya msimu…
UONGOZI wa Simba umesema kuwa mpango mkubwa kwenye mchezo wao wa kimataifa wa kirafiki kilele cha Simba day ilikuwa kucheza na waarabu wa Misri,…
RAIS wa Barcelona, Josep Bartomeu, amethibitisha kuwa Ronald Koeman atapewa kibarua cha kuwafunza miamba hao wa Catalan. Nyota huyo wa zamani wa Barcelona amesaini dili…
PSG imekuwa timu ya kwanza kutoka Ufaransa kutinga hatua ya fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ushindi wa mabao 3-0 mbele ya Klabu…
KOCHA Mkuu wa Klabu ya Coastal Union, Juma Mgunda, amesema kuondoka kwa nyota wao wanne waliokuwa wakitumika kikosi cha kwanza akiwemo aliyekuwa nahodha wa kikosi hicho,…