Home Uncategorized BEKI LIPULI ASAINI DILI LA MIAKA MIWILI KMC

BEKI LIPULI ASAINI DILI LA MIAKA MIWILI KMC

0

 

 DAVID Mwasa ambaye ni beki wa kati, leo Agosti 19 ametambulishwa ndani ya Klabu ya KMC kuwa mchezaji wao mpya kwa ajili ya msimu wa 2020/21.


Nyota huyo  amesaini dili la miaka miwili ndani ya KMC akitokea Klabu ya Lipuli FC.

Lipuli imeshuka daraa hivyo msimu wa 2020/21 itashiriki Ligi Daraja la Kwanza.