SIMBA QUEENS IKISHINDA LEO KUTANGAZWA MABINGWA WA LIGI YA WANAWAKE
SIMBA Queens huenda ikatangazwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Wanawake msimu huu endapo itaibuka na ushindi mbele ya Baobab Queens leo. Simba itavaana…
SIMBA Queens huenda ikatangazwa kuwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Wanawake msimu huu endapo itaibuka na ushindi mbele ya Baobab Queens leo. Simba itavaana…
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa iwapo Yanga wanahitaji huduma ya kiungo wao Abubakari Salim maarufu kama Sure Boy wanapaswa wafuate utaratibu uliopo kwa kufika…
RASMI nyota wa KMC, Charlse Ilanfya ni mali ya Simba baada ya uongozi wa KMC kuthibitisha jambo hilo.Ilanfya ndani ya Ligi Kuu Bara akiwa na…
IBRAHIM Ame, beki anayekipiga ndani ya Coastal Union inaelezwa kuwa amemalizana na mabosi wa Simba ambao walikuwa wakisaka saini ya Bakari Mwamnyeto ambaye ameibukia ndani…
ASTON Villa inaripotiwa imepanga kumuongezea dili jipya nahodha wa kikosi hicho Jack Grealish pamoja na mkwanja wa kumpa nyota huyo. Lengo la kufanya hivyo ni…
MECKY Maxime, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa yupo tayari kubeba mikoba ya Luc Eymael ambaye amefutwa kazi ndani ya jangwani ikiwa mazungumzo yatakwenda…
IMERIPOTIWA kuwa, Kocha Mkuu wa Liverpool, Jurgen Klopp anampigia hesabu beki wa Klabu ya Norwich, Jamal Lewis kwa msimu ujao. Klopp anahitaji kumuongezea nguvu beki…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatano
IMEELEZWA kuwa Sh 60Mil za kuuvunja mkataba kwenye klabu yake ya KMC, ndizo zimechelewesha mipango ya Yanga kufanikisha usajili wa beki wa kulia wa timu…
Manchester United hatimaye imemalizana na Alexis Sanchez baada ya klabu ya Inter Milan kukubali kumsajili nyota huyo raia wa Chile moja kwa moja, kwa mujibu…