BREAKING: YASSIN MUSTAPHA ASAINI YANGA KUTOKA POLISI TANZANIA
Breaking: Yassin Mustapha nyota wa Polisi Tanzania leo Agosti Mosi, amesaini dili jipya kuitumikia Yanga.Mchezaji huyo aliyekuwa ananolewa na Malale Hamsini anakuwa ni wa tatu…
Breaking: Yassin Mustapha nyota wa Polisi Tanzania leo Agosti Mosi, amesaini dili jipya kuitumikia Yanga.Mchezaji huyo aliyekuwa ananolewa na Malale Hamsini anakuwa ni wa tatu…
BAKARI Mwamnyeto beki kisiki wa Coastal Union leo Agosti Mosi amesaini dili la miaka miwili kuitumikia Klabu ya Yanga.Nyota huyo alikuwa kwenye rada za mabosi…
KESHO ndani ya SPOTI XTRA Jumapili
INAELEZWA kuwa Klabu ya KMC imefikia makubaliano ya kumuachia nyota wao Charles Ilanfya kwenda Klabu ya Simba SC inayonolewa na Sven Vandenbroeck.Mshambuliaji huyo mzawa ambaye…
LEO Agosti Mosi, Klabu ya Ihefu ya Mbeya imefanikiwa kupanda rasmi ndani ya Ligi Kuu Bara kwa kuishusha chini jumlajumla Klabu ya Mbao FC.Ushindi walioupata…
KLABU ya Azam FC imekamilisha usajili wa kiungo mkabaji wa kimataifa wa Rwanda, Ally Niyonzima, kwa mkataba wa miaka miwili.Kiungo huyo alikuwa kwenye rada za…
HITIMANA Thiery, Kocha Mkuu wa Namungo FC amesema kuwa ana kazi ngumu kesho mbele ya Simba ila anaamini watapambana kupata matokeo.Kesho Namungo itashuka kwenye Uwanja…
INAELEZWA kuwa Sh 60Mil alizowekewa mezani nahodha wa Yanga Papy Tshishimbi ili aongeze mkataba alizigomea huku akihitaji apewe gari aina ya Subaru Impreza ni sababu…
ZIMBEBAKI saa chache kabla ya fainali ya Kombe la Shirikisho, kati ya Simba na Namungo kupigwa kesho, Agosti 2, Uwanja wa Nelseon Mandela, Sumbawanga. Kocha…
ERASTO Nyoni nyota wa Simba leo Agosti Mosi ametimiza ahadi kwa shabiki yake Jumanne Ulimwengu ya kumnunulia baiskeli ambayo ataitumia kwenda shule.Nyoni alitoa ahadi hiyo…