SIMBA YATAJA SIRI YA MAFANIKIO, HESABU ZAO NI MBELE YA NAMUNGO
JOHN Bocco, nahodha wa Simba amesema kuwa kikubwa ambacho kipo nyuma ya mafanikio ya kikosi hicho ni ushirikiano pamoja na sapoti ya mashabiki.Simba imetwaa ubingwa…
JOHN Bocco, nahodha wa Simba amesema kuwa kikubwa ambacho kipo nyuma ya mafanikio ya kikosi hicho ni ushirikiano pamoja na sapoti ya mashabiki.Simba imetwaa ubingwa…
LICHA ya kubakisha miezi miwili kabla ya mkataba wake kumalizika, kiungo nyota wa Yanga, Haruna Niyonzima, amefunguka kwamba ameamua kuuweka kando mkataba wake mpya na timu hiyo.…
KOCHA Mkuu wa Mtibwa Sugar, Zuberi Katwila, amesema kuwa yupo tayari kuwajibishwa na uongozi wa klabu hiyo kufuatia mwenendo mbaya katika ligi kuu msimu huu.…
INAELEZWA kuwa kocha wa zamani wa Yanga Hans Pluijm anakuja kubeba mikoba ya Mbelgiji Luc Eymael ndani ya Yanga.Eymael amefukuzwa kazi ndani ya Yanga kutokana…
RASMI sasa Uwanja wa Taifa wa Dar es Salaam umebadilishwa jina na utaitwa Uwanja wa Benjamin Mkapa.Leo, Julai 28,2020, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
UONGOZI wa Simba umesema kuwa kwa sasa wachezaji wote wapo salama wakiwa tayari kwa ajili ya mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho dhidi ya…
MTENDAJI Mkuu wa Simba, Senzo Mazingisa, raia wa Afrika Kusini, amefunguka kuwa watazungumzia juu ya hatima ya kiungo wao Msudan, Sharaf Shiboub, pale watakapokuwa wamemalizana…
MANCHESTER United inatajwa kuendelea kumpigia hesabu nahodha wa Klabu ya Aston Villa, Jack Grealish kwenye dirisha la usajili msimu huu.Mmiliki mwenza wa Aston Villa, Nassef…
LIGI Kuu Bara 2019/20 imefikia tamati julai 26 na sasa tunajiandaa na msimu ujao wa 2020/21 ambapo tunategemea utakuwa msimu bora zaidi ya huu ambao…
MWINYI Zahera aliyekuwa kocha wa zamani wa Yanga amesema kuwa amesikitishwa na vitendo vya Luc Eymael ambaye amefukuzwa kazi hivi jana,Julai 27.Yanga ilitoa taarifa kwamba…