SIMBA YASHINDWA NA NYOTA SHONGA KWENYE DAU, SASA KUTIMIKIA URENO
JUSTIN Shonga, mshambuliaji wa Orlando Pirates ya Afrika Kusini inaelezwa kuwa yupo mbioni kujiunga na Klabu ya CS Maritimo ya nchini Ureno, hiyo ni baada…
JUSTIN Shonga, mshambuliaji wa Orlando Pirates ya Afrika Kusini inaelezwa kuwa yupo mbioni kujiunga na Klabu ya CS Maritimo ya nchini Ureno, hiyo ni baada…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael, raia wa Ubelgiji, amefunguka kuwa hakutakuwa na pengo lolote la kumkosa beki wake wa kati Lamine Moro kwenye mechi…
BEKI wa kulia Mtanzania, Hassan Kessy, anayekipiga Nkana FC ya Zambia, amesema yupo tayari kurejea Yanga kwa dau la Sh milioni 80.Hiyo ikiwa ni siku…
JUNI 13, Yanga iliendelea pale ilipoishia kwa kutupa kete ya 28 mbele ya Mwadui FC mchezo uliochezwa Uwanja wa Kambarage, Shinyanga na ya 29 mbele…
WACHEZAJI wa Klabu ya Liverpool inayonolewa na Jurgen Klopp wameshangilia kwa pamoja ubingwa wa Ligi Kuu England baada ya kutangazwa kuwa Mabingwa rasmi.Mara ya mwisho…
MIRAJ Atuman,’Sheva’ Kiungo mzawa mwenye uwezo mkubwa ndani ya Uwanja amesema kuwa bao lake alilowatungua Mbeya City anawaachia waamuzi kwa kuwa wao ndio wanajua kilichotokea.…
BERNARD Morrison, nyota wa Klabu ya Yanga amesema kuwa alicheza mechi mbili akiwa hajasaini dili na klabu hiyo kwa kuwa walikuwa wakihitaji kutazama uwezo wake…
MABINGWA watetezi wa Simba wameanza kuivutia kasi Klabu ya Tanzania Prisons kwa kufanya mazoezi kwa ajili ya mchezo wao utakaopigwa Juni,28 Uwanja wa Sokoine.Simba iliyo…
KLABU ya Simba na vyama kadhaa kikiwamo kile cha Makocha (TAFCA) na Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA) vimeshikwa pabaya baada ya…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Ijumaa