MARTIAL ASEPA NA MPIRA WAKE JUMLA WAKIIPA KICHAPO CHA MABAO 3-0 SHEFFIELD
ANTHONY Martial, nyota wa Manchester United jana alisepa na mpira wake baada ya kutupia mabao matatu mbele ya Sheffield United.Mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Old…
ANTHONY Martial, nyota wa Manchester United jana alisepa na mpira wake baada ya kutupia mabao matatu mbele ya Sheffield United.Mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Old…
LAMINE Moro, beki wa Yanga amefungiwa mechi tatu na kupigwa faini ya shilingi laki tano (500,000/-) kwa kosa la kumkanyaga mchezaji wa JKT Tanzania, Mwinyi…
YANGA jana ilisubiri mpaka dakika za jioni kabisa kuweka usawa wa kufungana mabao 2-2 na Namungo FC kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Uwanja…
JURGEN Klopp, Kocha Mkuu wa Liverpool kwa sasa anasubiri kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu England baada ya kushinda mabao 4-0 mbele ya Crystal Palace kwenye…
MABINGWA watetezi wa Kombe la Ligi Kuu Bara, Simba jana wameishushia kichapo cha mabao 2-0 Mbeya City kwenye mchezo wa ligi uliochezwa Uwanja wa Sokoine.…
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la SPOTI XTRA Alhamisi lipo mtaani jipatie nakala yako jero tu
KUTOKANA na kuonyesha kiwango bora katika nafasi ya beki wa kulia, nyota wa Yanga, Deus Kaseke, amesema kuwa haikuwa bahati mbaya kwake kucheza eneo hilo…
KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck raia wa Ubelgiji, amesema anafahamu kwamba wanakabiliwa na mechi ngumu za kumaliza msimu huu wa Ligi Kuu Bara, hivyo…