SIMBA WAANZA KUIVUTIA KASI MBEYA CITY LEOLEO
BAADA ya kikosi cha Simba kufika jijini Mbeya leo kimeanza mazoezi kwa ajili ya kujiweka sawa kuvaana na Mbeya City kwenye mchezo wa Ligi Kuu…
BAADA ya kikosi cha Simba kufika jijini Mbeya leo kimeanza mazoezi kwa ajili ya kujiweka sawa kuvaana na Mbeya City kwenye mchezo wa Ligi Kuu…
PAUL Nonga, nahodha wa Lipuli amesema kuwa hana mpango wa kurejea kwenye timu kwa sasa mpaka pale watakapokamilisha malipo ya mshahara wake ambao hajalipwa kulingana…
UJUMBE wa kiungo wa zamani wa Simba, James Kotei (26) alioutuma leo kwenye ukurasa wake wa Instagram, umeonyesha ishara ya wazi kuwa anaelekea kujiunga na…
FAROUK Shikhalo, mlinda mlango namba moja wa Yanga amesema kuwa kukaa kwake benchi kwenye mechi za Ligi Kuu Bara kunampa hasira ya kujinoa zaidi ili…
HALI ya hewa siyo nzuri baina ya kipa wa Simba, Beno Kakolanya na bosi wake, Mohammed Mwarami na inaelezwa wamechenjiana kwa maneno na ndiyo chanzo…
MALALE Hamsini, Kocha Mkuu wa Polisi Tanzania amesema kuwa kikosi chake bado hakijarejea kwenye ubora wake kutokana na kutokuwa na muunganiko mzuri baada ya kurejea…
SARE ya jana, Juni 21 kati ya Yanga dhidi ya Azam, Uwanja wa Taifa imezidi kuisogeza Simba katika kuufikia ubingwa.Iko hivi, Simba wakishinda mechi mbili…
NAMUNGO FC iliyo chini ya Kocha Mkuu, Hitimana Thiery Juni 24 itakuwa na kibarua cha kumenyana na Yanga kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa…
AMRI Said, Kocha Mkuu wa Mbeya City amesema kuwa mfumo wake wa kucheza mipira mirefu ni tatizo jambo ambalo analifanyia kazi kwenye mechi zake zinazofuata.Juni…