LIVE:YANGA 0-0 AZAM FC
Zinaongezwa dakika 2Dakika ya 45 zinakamilika hakuna timu iliyoona langoDakika ya 38 Haule anapewa huduma ya kwanzaDakika ya 33 Idd anapaisha nje kidogo ya 18Dakika…
Zinaongezwa dakika 2Dakika ya 45 zinakamilika hakuna timu iliyoona langoDakika ya 38 Haule anapewa huduma ya kwanzaDakika ya 33 Idd anapaisha nje kidogo ya 18Dakika…
HIKI hapa kikosi rasmi cha Azam FC dhidi ya yanga Uwanja wa Taifa leo Juni 21
MAMBO yameendelea kuwa magumu kwa kiungo wa Simba, Shaaraf Shiboub ambaye yupo kwao Sudan kutokana na janga la corona hivyo, marufuku ya watu kutoka imeendelea…
KIKOSI cha Yanga kitakachoanza chenyewe sasa kitakakachoanza leo Uwanja wa Taifa dhidi ya Azam FC
IKIWA leo Juni 21, Azam FC itakaribishwa na Yanga, Uwanja wa Taifa majira ya saa 10:00 jioni, kwa mujibu wa gazeti la Spoti Xtra limetaja…
Waswahili wanasema mwenzio akinyolewa basi ujiandae kwa kutia maji kichwani yaani uwe tayari kwa kunyolewa na wewe. Unajua nimesema hivyo kwa nini? Kwasababu fungia fungia…
ITAFAHAMIKA leo baada ya dakika 90 zile tambo za Yanga na Azam FC ambazo zilikuwa zinatawala kwa kila mmoja kuvuta kwake Uwanja wa Taifa. Mashabiki…
Na Saleh Ally MWANADAMU huwa anafanya makosa na kama ni muungwana huwa kinachofuatia ni kujuta, sote tunalijua hili na lazima tumewahi kulipitia bila ya kujali…
Verified SIMBA leo imeibuka na ushindi wa mabao 5-0 mbele ya African Lyon kwne mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Uhuru.Mabao ya Simba yalifungwa na…
UWANJA wa Taifa leo kutakuwa na mchezo wa kukata na shoka kati ya Yanga FC iliyo chini ya Kocha Mkuu, Luc Eymael na Azam FC…