RUVU SHOOTING:TUTAWASHANGAZA WENGI KESHO
OFISA Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire amesema kuwa kesho watawashangaza wengi ndani ya uwanja kwenye mchezo wao dhidi ya Simba.Ruvu Shooting itamenyana na Simba…
OFISA Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire amesema kuwa kesho watawashangaza wengi ndani ya uwanja kwenye mchezo wao dhidi ya Simba.Ruvu Shooting itamenyana na Simba…
Inaongezwa dakika mojaMCHEZO wa Ligi Kuu Bara unaoendelea Uwanja wa Kambarage kati ya Mwadui na Yanga, Yanga ipo mbele kwa bao 1-0.Balama Mapinduzi amefunga bao…
MASHABIKI wa Mwadui na Yanga leo wamfuata muongozo uliotolewa na Serikali kwa kukaa umbali wa mita moja ikiwa ni tahadhari dhidi ya Virusi vya Corona.Mchezo…
INAELEZWA kuwa sababu kubwa iliyowafanya wachezaji wa Yanga kuelekea Shinyanga kwa ndiga ni kuepusha gharama zisizo za lazima pamoja na kuwaweka wachezaji kwenye mazoezi kwa…
BEKI wa Azam FC, Nicolas Wadada jana ameungana na wachezaji wenzake kufanya mazoezi ya pamoja kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa kesho dhidi ya…
KIKOSI ca Yanga kitakachoanza le dhidi ya Mwadui FC Uwanja wa Kambarage
NIMEONA sehemu mbalimbali mitandaoni baadhi ya watu wakifurahia namna Msemaji wa Yanga, Hassan Bumbuli alivyomdhihaki Msemaji wa Simba, Haji Manara.Maneno makali aliyotoa Bumbuli kwa Haji,…
UONGOZI wa Azam FC umesema kuwa unajiweka sawa kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbao FC utakaochezwa Uwanja wa Azam…
LEO Juni 13, viwanja viwili vitakuwa na kazi ya kukupambana na mihimili ya miguu 44 baada ya masuala ya michezo kuruhusiwa kuendelea na Serikali. Hakukuwa…
CRISTIANO Ronaldo wa Juventus, alikosa penalti kwenye mchezo wa marudiano Kombe la Italia jana mbele ya AC Milan hatua ya nusu fainali. Timu yake imefuzu…