Uncategorized

RUVU SHOOTING:TUTAWASHANGAZA WENGI KESHO

admin June 13, 2020 2:47 pm

OFISA Habari wa Ruvu Shooting, Masau Bwire amesema kuwa kesho watawashangaza wengi ndani ya uwanja kwenye mchezo wao dhidi ya Simba.

Ruvu Shooting itamenyana na Simba Uwanja wa Taifa ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara.

Akizungumza na Saleh Jembe, Bwire amesema: “Tutawashangaza wengi kesho kwa kuonyesha soka makini kwani maandalizi yapo sawa naona wengi wametusahau ila tupo tayari,” amesema.

Ruvu Shooting ilifungwa mabao 3-0 mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Uhuru.

VPL:MWADUI 0-1 YANGA YANGA YAINYOOSHA MWADUI FC BAO MOJA NA KUSEPA NA POINTI TATU

Deprecated: File Theme without comments.php is deprecated since version 3.0.0 with no alternative available. Please include a comments.php template in your theme. in /home/sokalabo/public_html/wp-includes/functions.php on line 6170

Leave a Reply