SIMBA YATUA KWA MUUAJI WAO NA YANGA,GSM YAANZA NA MASTAA HAWA,NDANI YA CHAMPIONI JUMATANO
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumatano
MUONEKANO wa ukurasa wa mbele Gazeti la CHAMPIONI Jumatano
KOCHA wa zamani wa Klabu ya Yanga, Mwinyi Zahera amesema kuwa amekosa nafasi ya kwenda kuinoa Klabu ya Township Rollers kutoka Goborone nchini Botswana kwa…
KESHO ndani ya Gazeti la Championi Jumatano, usipange kukosa nakala yako
AMRI Said, Kocha Mkuu wa Mbeya City amesema kuwa wachezaji wake wapo tayari kwa ajili ya mapambano ya ligi kwa mechi ambazo zimebaki.Mbeya City imebakiwa…
ALIYEKUWA Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza amefariki dunia kwa kile kinachoelezwa kuwa ni shambulio la moyo leo Juni 9,2020. Serikali ya Burundi imethibitisha kifo cha…
MCHEZAJI wa zamani wa Klabu ya Simba, Ulimboka Mwakingwe sasa ni Kocha Msaidizi wa Klabu ya Pamba SC ya Mwanza.Klabu hiyo ipo Ligi Daraja la…
KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael anatarajiwa kutua kesho kwa ajili ya kuendelea kibarua chake majira ya saa 7:20 mchana.Eymael aliibukia Ubelgiji baada ya Serikali…
SHIRIKISHO la Soka Tanzania, (TFF) limeupiga pini Uwanja wa Simba Mo Arena kwa matumizi ya mechi za kirafiki.Jana, Juni 7 Uwanja huo ulitumika kwa mechi…
SHIRIKISHO la mpira wa miguu Tanzania (TFF) limeruhusu mechi za kirafiki kuchezwa Ila kwa kibali kutoka TFF ili kuhakikisha wahusika wanafuata mwongozo wa Wizara ya…