KIUNGO RAYON AWAAGA MASHABIKI RWANDA SASA KUIBUKIA YANGA,NDANI YA CHAMPIONI JUMATATU
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatatu
MUONEKANO wa Ukurasa wa mbele Gazeti la Championi Jumatatu
SAID Ndemla kiungo wa Simba akaona isiwe tabu ngoja amvute tu kiungo mwenzake Luis Miqussone.Haya yote ni kwenye mazoezi ya Simba ambao ni mabingwa watetezi…
CLATOUS Chama, kiungo wa Simba amesema kuwa anaamini ushindani utakuwa mkubwa ndani ya Ligi Kuu Tanzania Bara kutokana na kila timu kujipanga kupata ushindi.Chama amerejea…
HASSAN Kabunda, winga wa KMC leo alimaliza msumari wake wa mwisho kwa kumtungua mlinda mlango wa Yanga bao la kideo kwa mpira wa adhabu uliomshinda…
KESHO ndani ya Gazeti la Championi Jumatatu, usipange kukosa nakala yako
Mechi ya kirafiki kati ya Yanga na KMC Uwanja wa Uhuru kwa sasa ni kipindi cha pili.KMC inaongoza kwa mabao 3-0 ambayo yalifungwa na Sadallah…
KIKOSI cha Yanga kitakachoanza leo dhidi ya KMC mchezo wa kirafiki Uwanja wa Uhuru
NICOLAS Wadada, beki wa Azam FC ni mhimili ndani ya kikosi hicho kutokana na uwezo wake anaonyesha ndani ya uwanja kwa kuzuia, kufunga na kutengeneza…
LEO majira ya saa 10:00 jioni, Uwanja wa Uhuru kutakuwa na pambano la kukata na shoka kati ya Yanga na KMC ikiwa ni mchezo wa…
KIUNGO wa Simba, Clatous Chota Chama amewasili nchini leo akitokea nchini Zambia alikokuwa kwa ajili ya mapumziko ya lazima yaliyotokana na janga la Virusi vya…