NAMUNGO SIO WATU WAZURI WAINYOOSHA NDANDA FC MABAO 2-0
NAMUNGO FC iliyo chini ya Kocha Mkuu, Hitimana Thiery leo imewanyoosha kwa mabao 2-0 Ndanda FC kwenye mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Nagwanda Sijaona.Mchezo…
NAMUNGO FC iliyo chini ya Kocha Mkuu, Hitimana Thiery leo imewanyoosha kwa mabao 2-0 Ndanda FC kwenye mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Nagwanda Sijaona.Mchezo…
KIKOSI cha Azam FC kitakachoanza leo mchezo wa kirafiki dhidi ya Transit Camp, Uwanja wa Azam Complex.
MKURUGENZI wa Uwekezaji ndani ya GSM, Injinia Hersi Said amesema kuwa mpango mkubwa wa kusajili wachezaji ndani ya Klabu ya Yanga kwa sasa ni kutowapa…
KOCHA Msaidizi wa Yanga, Charles Mkwasa, amesema kuwa katika mazoezi ya siku tano ambayo wachezaji wamefanya, amebaini kuna nyota wao watano walioongezeka uzito jambo lililosababisha…
KESHO Yanga itakuwa na kibarua kingine cha kumenyana na KMC kwenye mchezo wa kirafiki utakaochezwa Uwanja wa Uhuru.Mchezo huo utarushwa moja kwa moja na Azam…
BENCHI la ufundi la Azam FC lililo chini ya Kocha Mkuu Aristica Cioaba limepandisha majembe sita ya kazi kutoka timu ya vijana ya umri wa…
DARUESH Saliboko, mshambuliaji namba mbili wa Klabu ya Lipuli amesema kuwa ataripoti kambini hivi karibuni kwa kuwa kwa sasa kuna mambo anayaweka sawa.Lipuli iliripoti kambini…
LICHA ya Simba kuwa kimya katika harakati za usajili, tetesi zilipo ni kwamba tayari wamemalizana na kipa wa KMC, Jonathan Nahimana. Nahimana alianza kuhusishwa na…
BAADA ya Uogozi wa Yanga kusema kuwa wachezaji wao watatu wameongezeka uzito, Ofisa Habari wa Simba Haji Manara kama amewajibu kimtindo kwa kuwataja wachezaji wa…
KLABU ya Yanga leo imeshinda mabao 2-0 kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Dar City uliochezwa Uwanja wa Chuo cha Sheria.Mchezo wa kwanza Yanga ilishinda…